NYOSO. Nifuate niko poa
Beki wa zamani wa simba na Mbeya city sasa yupo huru baada ya kukamilisha kuitumikia adhabu ya miaka miwili aliyowekewa.
Amesema yupo fiti na anasubiri nani atakosa mezani kumsainisha mkataba. Je ni Msimbazi au kwengine?? Tegea hapa hapa utajua kila kila kitu.
Amesema yupo fiti na anasubiri nani atakosa mezani kumsainisha mkataba. Je ni Msimbazi au kwengine?? Tegea hapa hapa utajua kila kila kitu.
Maoni
Chapisha Maoni