KOMBE LA MABARA

Urusi yalala kwa Ureno, New Zealand yatupwa nje kombe la mabara


Wenyeji wa michuano ya kombe la mabara timu ya taifa ya Urusi wamepoteza mchezo wao wa pili dhidi ya timu ya taifa ya Ureno kwa bao 1-0 katika mchezo uliochezwa katika dimba la Spartak Jijini Moscow.
Mchezaji bora duniani Cristiano Ronaldo ndie aliyefunga goli pekee katika mchezo huo katika dakika ya nane ya mchezo akiunganisha kwa kichwa krosi iliyopigwa kutoka upande wa kushoto na Raphael Guerreiro.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Bellerin kuelekea Barcelona?

TETESI ZA USAJILI JUMANNE 20.6.2017

Jezi mpya ya Simba SC