Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2017

CAF yatathmini kubadili tarehe ya mashindano barani Afrika

Picha
Kombe la taifa bingwa barani Afrika huenda likahamishwa hadi msimu wa joto kama sehemu ya mazungumzo yaa shirikisho la kandanda barani Afrika. Kuandaliwa mashindano hayo miezi ya Januari na Februari imeghadhabisha vilabu vya bara Ulaya ambapo wachezaji wengi wa kiafrika hucheza. Pia idadi ya timu zinashoriki huenda ikaongezwa kutoka 16 hadi 24. Wachezaji wengine walikataa ombia la kuwataka kujiunga nchi zao kushirikia mashindani ya mwaka huu, yaliyoandaliwa nchini Gabon na kuamua kubaki na vilabu vyao. Hao ni pamoja na wachezaji kadha kutoka Cameroon ambao walitaka kujiunga na timu ambayo hata hivyo ilishinda kombe hilo. Hao ni pamoja na wachezaji kadha kutoka Cameroon ambao walitaka kujiunga na timu ambayo hata hivyo ilishinda kombe hilo. Kila baada ya miaka miwoli mzo huibuka kati ya vilabu vya Ulaya na nchi, vinavyodai kuwapoteza wachezaji wakati wanahitaji sana. Kwa mujibu wa vilabu hivyo mara nyingi wachezaji hurudi vilabuni wakati wamechoka baada ya kuishiriki mechi za ...

Tetesi za usajili barani Ulaya. Jumatano 19.7.2017

Picha
Mshambuliaji wa Barcelona Neymar, 25, amekubali dau la Paris Saint-Germain, baada ya klabu hiyo ya Ufaransa kuwa tayari kutoa pauni milioni 195. (Esporte) Makamu wa rais wa Barcelona Jordi Mestre amesisitiza kuwa Neymar hatoondoka Barcelona wakati wowote ule. (Star) Mtaalam wa soka wa Amerika ya kusini Tim Vickery amesema Neymar huenda akaondoka Barcelona ili kuepuka kuwa chini ya kivuli cha Lionel Messi. (BBC Radio 5 Live) Kiungo wa Everton Ross Barkley, 23, anataka mshahara wa pauni 150,000 kwa wiki ili kujiunga na Tottenham, huku klabu yake ya Everton ikitaka pauni milioni 50 kama ada ya uhamisho. (Mirror) Tottenham watalazimika kumlipa kiungo Moussa Sissoko, 27, ili aondoke, licha ya kutoa pauni milioni 30 kumsajili mwaka jana tu. (Daily Mail) Arsenal watajaribu kutaka kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzima, 29, iwapo Alexis Sanchez, 28, ataondoka Emirates. (Don Balon) Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema Alexis Sanchez, 28, anayesakwa na Manchester City, ...

Tetesi za soka barani Ulaya

Picha
Real Madrid wanafikiria kumuuza mshambuliaji Gareth Bale, 27, ili kupata fedha za kumnunua Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco. (Sunday Express) Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini Kylian Mbappe atabakia Monaco kwa msimu mmoja zaidi. (Sun on Sunday) Dau la Chelsea la pauni milioni 88 la kumtaka mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, 29, limekataliwa. (Tuttosport) Kuna wasiwasi kuhusu hatma ya meneja wa Chelsea Antonio Conte, 47, baada ya mazungumzo ya mkataba mpya kusuasua. (Sun on Sunday) Liverpool wanatarajiwa kupanda dau jipya kutaka kumsajili kiungo wa RB Leipzig, Naby Keita, 22 wiki ijayo, baada ya dau la pauni milioni 57 kukataliwa. (Sunday Mirror) Kumekuwa na wasiwasi zaidi kuhusiana na mustakbali wa Alexis Sanchez, 28, baada ya kusema anataka kucheza Klabu Bingwa Ulaya. (ESPN) Manchester City wanaongeza juhudi zao za kutaka kumsajili beki wa kushoto wa Monaco, Benjamin Mendy, 22, kwa pauni milioni 50 hii ni baada ya Tottenham kukataa kuwauzia Danny Rose, 27. (S...

Tetesi za Usajili barani Ulaya: Ijumaa 14.7.2017

Picha
Chelsea wameambiwa wanaweza kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Pierre Emerick-Aubameyang, 28, kwa pauni milioni 60 baada ya Tianjin Quanjian ya China kusema haitaki tena kumsajili mchezaji huyo. (Daily Mail) Borussia Dortmund huenda wakaamua kumfuatilia mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud, 30, ambaye pia anasakwa na Everton, West Ham, Marseille na AC Milan. (Daily Mirror) Mshambuliaji wa Chelsea Eden Hazard, 26, amempigia simu meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane na kumuambia hana mpango wa kuondoka Chelsea msimu huu. (Diario Gol) Chelsea wamefikia makubaliano na Monaco ya kumsajili kiungo Tiemoue Bakayoko, 22, kwa pauni milioni 40 kwa mkataba wa miaka mitano. (RMC) Meneja wa Chelsea anajiandaa kumuuza kiungo Nemanja Matic, 28, kwa pauni milioni 40. Matic amekuwa akifanya mazoezi peke yake na anataka kuungana na Jose Mourinho Old Trafford. (Daily Telegraph) Barcelona wanataka kumsajili beki wa Chelsea Cesar Azpilicueta baada ya kushindwa kumpata Hector Bellerin wa...

Tetesi za usajili barani Ulaya Jumatatu 3.7.2017

Picha
Arsenal wanajiandaa kutoa pauni milioni 125 ili kumsajili Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco na kuwazidi kete Real Madrid (Sunday Mirror). Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amemuambia Alexis Sanchez, 28, kuwa hatojiunga na Manchester City msimu huu (Mail on Sunday). Everton wanapanga kutaka kutoa pauni milioni 20 kumsajili mshambuliaji wa Arsnenal Olivier Giroud, 30 (The Sun). Meneja wa Bayern Munich Carlo Ancelotti ameonekana kutaka klabu yake kumsajili Alexis Sanchez kutoka Arsenal kwa kusema Sanchez ni "mchezaji mzuri" (London Evening Standard). Alexis Sanchez Manchester City pia wanamtaka Alexis Sanchez, lakini Arsenal hawatoruhusu mchezaji huyo kwenda katika klabu hasimu inayocheza Ligi Kuu ya England (Mail on Sunday). Meneja wa Manchester City Pep Guardiola, yuko tayari kumruhusu kipa Joe Hart , 30, kuhamia kwa mahasimu wao Manchester United (Sunday Express). Meneja wa Manchester United Jose Mourinho bado atataka kumsajili mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku, 24...

Ujerumani yatwaa ubingwa

Picha
Timu ya taifa ya Ujerumani imetwaa taji la kombe la mabara baada ya kuishinda Chile kwa bao 1-0 katika mchezo uliochezwa kwenye dimba la Saint Petersburg nchini Urusi. Mshambuliaji Lars Stindl ndie aliyeifungia Ujerumani goli pekee liliwapa ubingwa wa mabara kwa mara ya kwanza baada ya kutumia vyema makosa ya kiungo wa Chile, Marcelo Diaz. Katika mchezo wa kumsaka mshindi wa tatu Ureno walifanikiwa kutwaa medali ya shaba baada ya kuichapa Mexico kwa mabao 2-1. Wachezaji wa Ureno wakishangilia Beki wa Ureno Luis Neto aliwapa Mexico goli la kuongoza baada ya kujifunga katika dakika ya 55, kabla ya Pepe kuzawazisha goli hilo katika dakika za lala salama. Bao la mkwaju wa penati lilifungwa na Adrien Silva katika dakika ya 104 likawapa Ureno ushindi muhimu licha ya kumkosa nyota wake Cristiano Ronaldo.

Stars yailaza Afrika Kusini Cosafa

Picha
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars wameichapa timu ya Taifa ya Afrika kusini kwa bao 1-0 katika michuano ya kombe la Cosafa. Bao la dakika ya 18 la mshambuliaji Elias Maguri lilitosha kuipeleka Stars katika nusu fainali ya michuano katika mchezo uliochezwa kwenye dimba la Royal Bafokeng, Rusternburg. Tanzania sasa itamenyana na Zambia siku ya Jumatano katika mchezo wa nusu fainali, wakati Afrika Kusini wanaangukia kwenye michuano ya Plate, inayoshirikisha timu zilizotolewa hatua ya robo fainali. Katika mchezo wa pili wa michuano hiyo Zimbabwe waliwachapa Swaziland kwa mabao 2-1.

Transfer News

Picha
Maduka ya kamari yameweka dau la kuashiria kuna uwezekano mkubwa wa Harry ane kuondoka Tottenham na kwenda Manchester United (Daily Star). Hata hivyo Tottenham wametupilia mbali uwezekano wa Harry Kane kwenda Old Trafford na kusema thamani ya mshambuliaji wao ni karibu pauni milioni 200 (Independent). Alex Sandro, 26, amekubali kujiunga na Chelsea huku mabingwa hao wa England wakikaribia kukamilisha mkataba wa pauni milioni 61 kumsajili beki huyo wa Juventus (Corriere della Sera). Sandro huenda akaungana na Virgil van Dijk, 25, kutoka Southampton, na mshambuliaji Romelu Lukaku, 24, kutoka Everton na kiungo mkabaji wa Monaco Tiemoue Bakayoko, 22, wakati Chelsea ikijiandaa kutumia pauni milioni 240 msimu huu (Daily Express). Arsenal na Manchester City wanafikiria kubadilishana washambuliaji, Alexis Sanchez, 28, kwa Sergio Aguero, 29 (Daily Star). Hata hivyo Alexis Sanchez ameshawishiwa na mchezaji mwenzake wa timu ya taifa, Arturo Vidal, kwa kuambiwa aachane na Arsenal na kwenda ...

Tetesi za Usajili barani Ulaya

Picha
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola anataka kusajili mabeki wanne wapya - Dani Alves, 34, kutoka Juventus, Kyle Walker, 27, kutoka Tottenham, Ryan Bertrand, 27, kutoka Southampton na Benjamin Mendy, 22, kutoka Monaco (Star on Sunday). Wanasheria wa Cristiano Ronaldo wanadai kuwa mshambuliaji huyo wa Real Madrid, alilipa kodi nyingi kupita kiasi kwa mamlaka za Spain, na sio kidogo kama inavyodaiwa (Cadena Cope). Manchester United wamempa mkataba wenye thamani ya euro milioni 7.5 kwa msimu, kiungo wa Roma Radja Nainggolan (Il Tempo). Liverpool wanataka kuongeza kasi zaidi kwa kumtaka Alex Oxlade-Chamberlain wa Arsenal baada ya kukamilisha usajili wa Mohamed Salah (Mirror). Jose Mourinho ameitaka Manchester United "kuvunja benki" na kutoa pauni milioni 100 ili kumsajili mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane na kuachana na Cristiano Ronaldo (Sunday Mirror). Arsenal watamgeukia Anthony Martial wa Manchester United iwapo watashindwa kumsajili Kylian Mbappe kutoka Monaco ...

Messi Kulipa mamilioni kukwepa jela.

Picha
Nyota wa soka duniani Lionel Messi huenda akaamua kulipa faini kukwepa kifungo cha miezi 21 jela ambacho alihukumiwa na mahakama Uhispania kwa kosa la ulaghai wakati wa kulipa kodi, taarifa Uhispania zinasema. Mwendesha mashtaka wa serikali nchini Uhispania anatarajiwa kubadilisha kifungo hicho kuwa faini ya €255,000 ($285,000; £224,000), ambayo ni sawa na €400 kwa kila siku ambayo angekaa gerezani. Uamuzi wa mwisho kuhusu kulipwa kwa faini utatolewa na mahakama. Messi, pamoja na babake Jorge, walipatikana na hatia ya kuilaghai Uhispania jumla ya €4.1m kati ya 2007 na 2009. Lionel Messi wa Iran azua gumzo Messi akutana na kijana aliyevalia jezi Afghanistan Ronaldo kushtakiwa kwa kukwepa kodi Mahakama mjini Barcelona iligundua kwamba walitumia maeneo salama kwa ulipaji kodi Belize na Uruguay ili kukwepa kulipa kodi. Kando na huku hiyo ya kifungo jela, nyota huyo wa klabu ya Barcelona pia alitozwa faini ya €2m na babake €1.5m. Walijitolea kulipa €5m "kama malipo ya kufid...

Sportpesa kusitisha ufadhili wa soka

Picha
Kampuni ya mashindano ya bahati nasibu ya kubashiri matokeo ya mechi SportPesa imetangaza kwamba itasitisha udhamini wake kwa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) baada ya serikali kuidhinisha ongezeko ya kodi inayolipiwa mapato na kampuni na kubashiri matokeo. Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo Ronald Karauri ongezeko hilo la kodi hadi 35% litaathiri sana biashara za kampuni hiyo. Udhamini wa SportPesa kwa klabu za nje ya Kenya hautaathirika. Kampuni hiyo kwa sasa hudhamini klabu za Uingereza, Everton an Hull City. SportPesa ni moja ya kampuni kubwa zaidi za mashindano ya kubashiri matokeo ya mechi Afrika Mashariki. Kodi hiyo ya juu iliidhinishwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia watoto na vijana wa umri mdogo kujihusisha na mashindano hayo ya ubashiri wa matokeo. Wakenya waliorodheshwa kuwa miongoni mwa watu wanaoshiriki sana katika mashindano ya bahati nasibu Afrika kusini mwa jangwa la Sahara na utafiti uliofanywa karibuni. Utafiti huo ulionesha theluthi mbili ya Wakenya wa kat...

Tetesi Za Usajili

Picha
Paris-Saint Germain wapo tayari kutoa kitita kitakachovunja rekodi ya dunia cha pauni milioni 119 kumsajili Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco (Mirror). Lakini Arsenal wanajiandaa kutoa dau jipya kumsajili Mbappe, huku Arsene Wenger akiwa na uhakika wa kumpata mchezaji huyo (Metro). Mbappe hana tatizo la wazo la kwenda Emirates (Telegraph). Dau la pauni milioni 100 kutoka Liverpool la kumtaka Kylian Mbappe limekataliwa (Marca). Mbappe inasemekana amekuwa na mazungumzo na meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane (L'Equipe). Meneja wa Chelsea Antonio Conte yuko tayari kumuuza kiungo Nemanja Matic, 28, kwenda Manchester United ili aweze kufanikisha usajili wa kiungo wa Monaco Tiemoue Bakayoko, 22, kwa pauni milioni 42 (The Times). Real Spciedad wamekubali kulipa pauni milioni 10 kumsajili winga wa Manchester United Adnan Januzaj, 22 (Daily Mail) Beki Matteo Darmian wa Manchester United amempigia simu Jose Mourinho na kumuomba amsaidie katika kuhamia Juventus (Sun). Mwenyekiti wa...

Tetesi za Ujali barani ulaya.

Picha
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa, 28, atakaidi hatua ya Antonio Conte na kukataa kuondoka Stamford Bridge, hadi akubaliwe kurudi Atletico Madrid (Daily Star). Diego Costa amewaambia Atletico Madrid kuwa anataka kurejea Spain. Kutokana na Atletico kufungiwa kusajili, hata akisajiliwa sasa hatoweza kucheza hadi Januari (Sky Sports). Thibault Courtois hajasaini mkataba mpya, huku Real Madrid wakimnyatia. Kipa huyo wa Chelsea anataka mkataba wa pauni milioni 10 kwa mwaka (The Sun). Real Madrid wanasubiri Manchester United kupanda dau la kumtaka mshambuliaji Alvaro Morata, 24, kabla ya mabingwa hao wa Ulaya kuanza kumfuatilia Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco (Diario) Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane atafikiria kuimarisha safu ya ulinzi kwa kumchukua Leonardo Bonucci kutoka Juventus. Zidane hana mpango wa kusajili mabeki wengine na atatoa nafasi kwa chipukizi ikiwa hawatoafikiana na Juve (Diario Gol). Klabu ya China yazuiwa kumnunua Costa Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 21....

KOMBE LA MABARA

Urusi yalala kwa Ureno, New Zealand yatupwa nje kombe la mabara Wenyeji wa michuano ya kombe la mabara timu ya taifa ya Urusi wamepoteza mchezo wao wa pili dhidi ya timu ya taifa ya Ureno kwa bao 1-0 katika mchezo uliochezwa katika dimba la Spartak Jijini Moscow. Mchezaji bora duniani Cristiano Ronaldo ndie aliyefunga goli pekee katika mchezo huo katika dakika ya nane ya mchezo akiunganisha kwa kichwa krosi iliyopigwa kutoka upande wa kushoto na Raphael Guerreiro.

Arsenal latest transfer news

Picha
All the latest Arsenal transfer news and rumours from across the British and European press on Tuesday, June 20. Barcelona will offer Rafinha plus £20m for full-back Hector Bellerin as they test Arsenal's resolve in the the transfer window, according to The Sun. There are also reports in the Spanish media suggesting Barca could use the 24-year-old Spaniard as a makeweight in their pursuit of Arsenal's right-back. Arsenal are reportedly interested on Juventus star Juan Cuadrado, according to La Stampa. Juan Cuadrado has been linked with a move to Arsenal The Colombia international only joined the Serie A champions on a permanent deal last month the reports suggest both the Gunners and PSG are ready to offer £20m for the 29-year-old. Chelsea are set to enter the race to sign Alex Oxlade-Chamberlain from Arsenal, according to the Daily Mirror. Sky sources also understand the Blues have joined Liverpool and Manchester City in their efforts to sign Oxlade-Chamber...

TETESI ZA USAJILI JUMANNE 20.6.2017

Picha
Mwangata football transfer gossip: Ronaldo, Oxlade-Chamberlain, Aubameyang, Hart Chelsea wataingia mbioni kusaka huduma za Alex Oxlade-Chamberlain kutoka Arsenal huku Liverpool na Manchester city wakivutiwa na kiungo huyo kutoka England (Mirror). .Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo, 32,hataibana sana Manchester united kuhusiana na Mshahara wake mkubwa ili kuhakikisha anarudi old Trafford msimu ujao kabla ya dirisha la usajili kukamilika mwezi Agosti.( Sun) Vile vile, Manchester united wana uhakika wa kumpata Ronaldo. (Daily Express) Na meneja wa Man U José Mourinho amekataa kumsajili Ronaldo (Daily Star) Mabingwa wa LA liga real Madrid hawajapokea ofa ya mchezaji yoyote-hata Alvaro Morata anayewindwa na man U-hii ni kulingana na rais wa Real Madrid Florentino Perez. (Onda Cero, via the Sun). Manchester City wanaandaa dau la kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund na raia wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang,28.(Sky sports). are preparing a bid for Borussia Dortm...

Tetesi za usaliji barani Ulaya Jumatatu 19.6.2017

Picha
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amemwambia wakala wake Jorge Mendes kufanikisha uhamisho wake kurejea Manchesyer United  (Sun). Manchester United watawapa Real Madrid David de Gea, 26, pamoja na pauni milioni 183, ili kumsajili Cristiano Ronaldo, 32 pamoja na Alvaro Morata, 24 (Tuttosport). Manchester United itawapa Real Madrid David de Gea pamoja na pauni milioni 175 kumchukua Ronaldo, na pia watamfuatilia Alvaro Morata katika mkataba mwingine tofauti (Daily Mirror). Iwapo De Gea atakwenda Real Madrid, Manchester United watamfuatilia kipa wa AC Milan Gianluigi Donnarumma, 18 (Calciomercato) Meneja wa Manchester United Jose Mourinho hamtaki Ronaldo kwa sababu anahisi kiwango chake kimeanza kushuka (Diario Gol). Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane amempigia simu Ronaldo kujaribu kumshawishi asiondoke Madrid (Marca). AC Milan huenda wakaamua kumfuatilia kipa wa Manchester City Joe Hart, 30, iwapo kipa wao Donnarumma ataondoka (Daily Express). Mshambuliaji wa...

Tetesi za usajili barani Ulaya

Picha
Real Madrid wamesema timu itakayomtaka Ronado italazimika kulipa pauni milioni 350. Real wana matumaini kuwa bei hiyo huenda ikawakatisha tamaa Paris Saint Germain na Manchester United zinazomtaka Ronaldo (Mail on Sunday). Lakini washauri wa Ronaldo wanasema ada ya pauni milioni 131 itatosha kumsajili mchezaji huyo ambaye anataka "changamoto mpya" (Sunday Telegraph). Chelsea wameibuka na kusema wanamtaka Cristiano Ronaldo, huku mmiliki Roman Abramovic akisema yuko tayari kuvunja rekodi ya dunia ya usajili (Sunday Express). Rais wa Real Madrid Florentino Perez amemuambia Ronaldo kuwa hatomzuia iwapo anataka kuondoka Spain (Marca). Ronaldo atabakia Real Madrid iwapo klabu hiyo itakubali kumlipia kodi anayotuhumiwa kudaiwa ya pauni milioni 13 (Sunday Mirror). Paris St-Germain wanajiandaa kumfanya Cristiano Ronaldo kuwa mchezaji aghali zaidi duniani, baada ya kusikia kuwa anataka kuondoka Madrid (Don Balon). Manchester City nao wamewasiliana na Cristiano Ronaldo baada ya k...

Manchester United close to signing Morata

Picha
  Alvaro Morata's agent talked with Real Madrid on Wednesday, say Spanish reports Jose Mourinho still sees Alvaro Morata . Morata is seen as the best replacement for zlatan Ibrahimovic. Coach zidane has made it clear that he wants Morata to stay but lack of regular playing time has made Alvaro to look for more playing time and the destination is likely to at Old Trafford.

Tetesi za za Usajili barani Ulaya

Picha
Mshambuliaji Alvaro Morata, 24, huenda akakamilisha uhamisho wake wa pauni milioni 65 kutoka Real Madrid kwenda Manchester United mapema wiki ijayo (Daily Mirror). Mshambuliaji wa Monaco, Kylian Mbappe amesema itabidi'afanye uamuzi' kuhusu wapi aende huku Arsenal na Real Madrid wakimtaka chipukizi huyo wa miaka 18 (Daily Mail), nao Liverpool lazima walipe pauni milioni 35.5 iwapo wanataka kumsajili winga Mohamed Salah kutoka Roma (Daily Mirror). Arsenal wamedhamiria kukataa dau lolote kutoka Manchester City au Chelsea la kumsajili Alexis Sanchez (Independent), Southampton wanafikiria kutaka kumchukua meneja wa zamani wa Borussia Dortmund, Thomas Tuchel, baada ya kumfukuza kazi Claude Puel (Daily Express). Manchester City watajaribu kupunguza gharama za usajili kwa kuuza wachezaji wake wenye thamani ya pauni milioni 130, wakianza na kipa Joe Hart, 30, na mshambuliaji Kelechi Iheanacho, 20 ambao City wana matumaini ya kupata pauni milioni 25 kwa kila mmoja wao (Mancheste...

NYOSO. Nifuate niko poa

Picha
Beki wa zamani wa simba na Mbeya city sasa yupo huru baada ya kukamilisha kuitumikia adhabu ya miaka miwili aliyowekewa. Amesema yupo fiti na anasubiri nani atakosa mezani kumsainisha mkataba. Je ni Msimbazi au kwengine?? Tegea hapa hapa utajua kila kila kitu.

Man U wasajili jembe

Picha
Klabu ya soka ya Manchester United imemsajili mchezaji wa sehemu ya ulinzi kutoka Sweden,Victor Lindelof kwa pauni milioni 31. Hapo jana United ilithibitisha kuwa tayari inakamilisha taratibu za kumsajili beki huyo, ambaye atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na kocha Jose Mourinho kipindi hiki cha majira ya kiangazi. Lindelof anatokea klabu ya Benfica ya nchini Ureno aliyojiunga nayo mwaka 2012. Mkataba wa Lindelof utakuwa wa miaka minne katika klabu hiyo ya Manchester United.

Tetesi za usajili barani Ulaya

Picha
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anashughulikia uwezekano wa kununua wachezaji watatu wa kimataifa wa Ufaransa, huku akijiandaa na wachezaji kadhaa kuondoka Emirates. Wenger anataka kuwasajili Kylian Mbappe, 18, na Thomas Lemar, 21, kutoka Monaco na Alexandre Lacazette, 26, kutoka Lyon (Daily Telegraph), rais wa Lyon Jean-Michel Aulas amesema Arsenal wanaweza kumchukua Lacazette iwapo watawapa Olivier Giroud pamoja na pauni milioni 60 (Le10Sport), West Ham wanamtaka Giroud, 30, ambaye amesema hataki kukaa benchi Emirates (London Evening Standard). Meneja wa Everton Ronald Koeman anawanyatia wachezaji watatu- kiungo wa Ajax Davy Klaassen, 24, Gylfi Sigurdsson, 27 kutoka Swansea na beki Michael Keane, 24 kutoka Burnley (Daily Express). West Brom nao wameanza mazungumzo ya kumsajili nahodha wa zamani wa Chelsea John Terry, 36, ambaye pia anasakwa na Aston Villa (Sky Sports), Manchester City wako tayari kupunguza bei ya Samir Nasri ya Pauni milioni 16, kwa kuwa hakuna timu inamuul...

Ranieri: Apata kazi Ufaransa

Picha
Meneja wa zamani wa Leicester Claudio Ranieri ni meneja mpya wa klabu ya Nantes, ya Ufaransa. Klabu hiyo ya Ligue 1 walipewa ruhusa maalum na wasimamizi wa Ligi Kuu ya Ufaransa kumsajili Mtaliano huyo, ikizingatiwa kwamba alitimiza umri wa juu zaidi unaoruhusiwa kwa waamuzi, ambao ni miaka 65. Ranieri aliwaongoza Leicester City, kujinyakulia taji la klabu bingwa ulaya msimu wa 2015 -16 na kuongeza umaarufu kwa klabu hiyo. Lakini alipigwa kalamu mwezi Februari, ambapo klabu hiyo ilikuwa ikijipata katika hatari ya kushushwa daraja baada ya kupoteza kwa mfululizo mara tano kwenye ligi. Ranieri alichukua uongozi baada ya Sergio Conceicao winga wa zamani wa kushoto wa Ureno kuondoka Nantes na kujiunga na Porto. Conceicao, 42, alichukua uongozi katika klabu hiyo ya Ligue 1 mwezi Desemba mwaka 2016 na kupata ushindi mara nne katika ligi na kumaliza katika nafasi ya saba katika jedwali la timu bora za Ufaransa. Ranieri ana uzoefu wa kufanya kazi nchini ufaransa, alipoiwezesha Monaco kupa...

Arsenal premier League Fixture 2017/18

Picha
August.         12 Leicester (H) 19 Stoke city (A) 26 Liverpool (A) September 9 AFC Bournemouth ( H) 16 Chelsea (A) 23 Westbrom (H) 30 Brighton Albion (H) October 14 Watford (A) 21 Everton (A) 28 Swansea (H) November 4 Manchester city (A) 18 Tottenham (H) 25 Burnley (A) 28 Huddersfield united (H) December 2 Manchester United (H) 9 Southampton (A) 12 WestHam (A) 16 Newcastle united (H) 23 Liverpool (H) 26 Crystal Palace (A) 30 Westbrom (A) January 1 Chelsea (H) 13 AFC Bournemouth (A) 20 Crystal Palace (H) 30 Swansea (A) February 3 Everton (H) 10 Tottenham (A) 24 Manchester city (H) March 3 Brighton Albion (A) 10 Watford (H) 17 Leicester city (A) 31 Stoke city (H) April 7 Southampton (H) 14 Newcastle united (A) 21 WestHam (H) 28 Manchester united (A) May 5. Burnley (H) 13 Huddersfield united (A)

Time is ticking for Arsenal

Picha
Arsenal began this summer enshrouded in uncertainty. The future of Arsene Wenger may now be resolved but there remain huge question marks over the fate of several key players. Mesut Ozil, Alex Oxlade-Chamberlain and Theo Walcott have all been linked with moves away from the club. However, there is no case more critical than that of Alexis Sanchez. The sooner the Gunners can settle the Chilean's future, the sooner they can set about their transfer business in earnest. Arsenal are one of the few clubs to have already made a signing this summer. Bosnian Sead Kolasinac has arrived on a free transfer from Schalke, and seems primed to inherit the left-wing-back role in Arsenal's new 3-4-2-1 system. However, it's what happens with Sanchez that will determine how Wenger allocates the rest of his resources. The situation is complex. Arsenal's top scorer has just 12 months remaining on his current deal, and seems to be stalling on the possibility of signing a contract e...